29/06/2023
Eid Mubarak
Chama Cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Magharibi A Unguja
29/06/2023
Eid Mubarak
18/05/2023
TAARIFA: Kamati Tendaji ya Chama Cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Magharibi A kimefanya kikao Cha kuteuwa Kamati mbali mbali ambazo zitashirikiana nazo katika kuendesha Mpira ndani ya Wilaya yetu.
Kamati zenyewe k**a zifuatazo:-
1. Kamati ya Ligi
2. Kamati ya Ufundi
3. Kamati ya soka la Vijana (Central)
4. Kamati ya Rufaa
5. Kamati ya Waamuzi
6. Kamati ya Habari na Masoko
15/05/2023
Kamati Tendaji ya Chama Cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Magharibi A kimefanya kikao Cha kujadili mambo mbali mbali yanayohusu maendeleo ya Mpira katika Wilaya yetu.